Matokeo
ya Walioomba Mafunzo Ualimu katika Vyuo vya Serikali
Maelekezo:
Mfumo
huu umewekewa vitufe mbali mbali
ili kumsaidia muombaji kupata taarifa anazozihitaji kuhusiana na maombi yake (kama amechaguliwa ama la). Bonyeza viunganishi vilivyowekwa kama "Elimu ya Awali", "Michezo", na "Msingi" (kwa waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu ya Kawaida); au"Sayansi na Hisabati", na "Elimu Maalumu" (kwa waliochaguliwa kujiunga na "Stashahada ya juu ya Ualimu) kisha andika jina, au namba yako ya mtihani ya kidato cha nne kwenye kiboksi cha "Search" na moja kwa moja utaweza kuona kama jina lako liko kwenye orodha ya waliochaguliwa au hapana.
ili kumsaidia muombaji kupata taarifa anazozihitaji kuhusiana na maombi yake (kama amechaguliwa ama la). Bonyeza viunganishi vilivyowekwa kama "Elimu ya Awali", "Michezo", na "Msingi" (kwa waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu ya Kawaida); au"Sayansi na Hisabati", na "Elimu Maalumu" (kwa waliochaguliwa kujiunga na "Stashahada ya juu ya Ualimu) kisha andika jina, au namba yako ya mtihani ya kidato cha nne kwenye kiboksi cha "Search" na moja kwa moja utaweza kuona kama jina lako liko kwenye orodha ya waliochaguliwa au hapana.
Matokeo yanapatikana
hapa http://www.nacte.go.tz
Matokeo
haya yatapatikana kwa majeduali makubwa katika tovuti ya TAMISEMI na Wizara
ya Elimu na pia kwenye mbao za matangazo katika ofisi za Elimu Mikoa kuanzia
kesho tarehe 4 Septemba 2014.